Mafanikio yanahitaji nguvu ya hamasa itakayokusukuma kufanya mambo mbalimbali yatakayokuletea mafanikio, kila siku tunasema hakuna mtu atakayekuletea mafanikio zaidi yako,wewe ndiye utakayeleta mabadiliko katika maisha yako, leo ni tarehe moja mwanzo kabisa mwa mwezi hebu jiambie katika nafsi yako kwamba "leo ni leo sitasubiri kesho,uwanja wangu ni huu na nafasi yangu ya kufanya jambo kubwa ni leo", neno hili litaenda kuleta mabadiliko na nguvu kubwa ya hamasa ya kufanya kila jambo la mafanikio. Soma zaidi Sheria 2: imani (belief).
Sasa twende tutazame maswali ambayo unapaswa kujiuliza Kama unahitaji kufanya jambo lolote na kufikia mafanikio maybes, maswali haya yataanzisha Safari yako ya mafanikio hivo kabla ya kufanya jambo lolote jiulize kwanza maswali haha.
*Nini hasa utambulisho wangu katika Jamie?.
*Je ni lipi lengo langu no mwelekeo wangu?.
*Je ni watu gani napaswa kuambatana nao?.
*Je ni changamoto zipi ambazo navutiwa kuzitatua?.
*Jinsi gani naweza kujenga mtazamo chanya juu ya kile ninachofanya/ninachoenda Logan's?.
*Je nimejiandaa vipi kwenye vikwazo vilivyopo mbele yangu?.
*Je nini furaha yangu?.
Naamini umeelewa na utaenda kutendea kazi,malengo yangu na furaha yangu ni kukuona unapiga hatua kuelekea kwenye mafanikio kuliko kusoma tu na ukaacha bila kuchukua hatua. Anza sasa bado una nafasi ya kubadilisha maisha y'all. Nikutakie siku njema na uende kuchukua hatua sasa.
Sasa twende tutazame maswali ambayo unapaswa kujiuliza Kama unahitaji kufanya jambo lolote na kufikia mafanikio maybes, maswali haya yataanzisha Safari yako ya mafanikio hivo kabla ya kufanya jambo lolote jiulize kwanza maswali haha.
*Nini hasa utambulisho wangu katika Jamie?.
*Je ni lipi lengo langu no mwelekeo wangu?.
*Je ni watu gani napaswa kuambatana nao?.
*Je ni changamoto zipi ambazo navutiwa kuzitatua?.
*Jinsi gani naweza kujenga mtazamo chanya juu ya kile ninachofanya/ninachoenda Logan's?.
*Je nimejiandaa vipi kwenye vikwazo vilivyopo mbele yangu?.
*Je nini furaha yangu?.
Naamini umeelewa na utaenda kutendea kazi,malengo yangu na furaha yangu ni kukuona unapiga hatua kuelekea kwenye mafanikio kuliko kusoma tu na ukaacha bila kuchukua hatua. Anza sasa bado una nafasi ya kubadilisha maisha y'all. Nikutakie siku njema na uende kuchukua hatua sasa.
1 comments:
Ahsante Sana kwa somo hili la leo